Watanzania rudini nyumbani kwani nyie sio watumwa
Watanzania waliopo Africa ya kusini wa meombwa warudi nchini,kwamaana wao
Sio watumwa wala wakimbizi.
Watanzania ao wameombwa kuto kujiingiza katika majibishano au magombano yoyote na kuacha sheria ichukue mkondo wake.
"Karibuni sana nyumbani wapendwa wetu""
No comments:
Post a Comment