Gari ndogo la habiria la anguka mtoni la uwa watu kumi na wa nane
Gari hilo ambalo lina beba habilia wa ndani katika jiji la mbeya ambalo lime pata ajali likiwa katika rutizake za kawaida na kuacha barabara na kutumbukia katika mto ujulikanao kwajina la kiwira huko jijini mbeya
Sababu kubwa ya ajali hiyo ili sababishwa na kuferi kwa mfumo wa breki na kuingia kwenye mto uo
Na kuua watu kumi na wa nane
Hizi ni moja nguo za habiria ambao wa menusulika na hajali hiyo ziki anikwa pembeni mwa eneo la tukio
Ni mimi ni kujuzae Moffat Gibson
No comments:
Post a Comment