Friday, April 17, 2015

MKUTANO MKUBWA WA KIROHO WAANZA MJINI WASHNGTON DC

mkutano mkubwa wenye upako na nguvu za Mungu waanza mjini washington Dc

Mkutano mkubwa wa kiroho waanza Washington

Mgeni Rasmi, Mchungaji Wilbert Nfubhusa akitoa Wazo la Jioni wakati wa uzinduzi wa retreat hiyo

Mkutano mkubwa wa kiroho (TAUS Retreat 2015) ulioandaliwa na Jumuia ya Watanzania Wasabato walioko Marekani (Tanzania Adventists in the United States) umeanza leo hapa Washington DC.

Anwani ni

Burnt Mills SDA Church; 
10915 Lockwood Drive, Silver Spring MD 20901  

Tumepata fursa ya kuzungumza na Mchungaji Wilbert Nfubhusa aliyetoa Wazo la Jioni (sikiliza sehemu ya wazo hilo HAPA) na Katibu Mtendaji Saburi Eliamani ambao wameeleza machache kuhusiana na TAUS.
Karibu
Posted: by
Moffat gibson

No comments: