Wednesday, May 1, 2013

KIONGOZI WA UDUMA YA EFATHA MTUME NA NABII JOSEPHAT MWINGILA AKIWA NA (E.I.O)

Kiongoz wa uduma ya Efatha akiwa kwenye tafrija ya kuongea na watoto
Wake wa kiroho Efatha Interllector Organization (EIO) ilio fanyika jijini
Daresalam ndani  ya viwanja vya nuru center mjini mwenge

MDAALO WA MASWALI NA MAJIBU.

Mdaalo wa maswali kutoka kwa watoto kuelekea kwa baba yao
Juu ya changamoto zinazo jitokeza,
Kimwili na kiroho juu ya vijana hao
Ambao ni wafanyakaz na wanafunzi
wa vyuo vikuu wakiwa sambamba na kiongozi wao Issac.

Sunday, April 14, 2013

Well come to babuu's bog

Mamboz?
Niaje wadau Kalibuni pamoja tu share ideas zetu tuna weza kuunda
Kitu "kwapamoja tuna weza"

Mamboz guyz

Jamaan mambo ya kischool all of them are Tanzania intellectures at DIT

Tuesday, April 9, 2013

Say samething about that

Say same thing it can be a fact thinking. Can u gess which place are there ( Je hapa ni mahaligan?)

Sunday, April 7, 2013

WELL COME 2 BABUU'S BLOG

Well come to Babuu's glog 4 more
Funy
and intertyments

MAMBO KAMA HIVI YA LIVYO JAMAN

Jamani tuji adhali namilio ya cm zetu. Kuna Jamaa Mmoja alikwenda mazishini, muda ulipofika wa Watu kubeba mwili wa malehemu ghafra cm Ikaita "kimaso maso mwanangu msimuone Watu maso. Ghafra ikawagumzo jamani tujiadhali na Vicm vyetu.

Saturday, April 6, 2013

CHEKA PAMOJA NAC

Dada mmoja alichukua cm ya mpenzi wake kwakutaka Kubip ili kuangalia ni jina gani atakua amemsevu kwa Kutegemea kua atakua ameseviwa beby, laazz, waubani au mpenz badala yaku bip akakuta ameseviwa "RASHID FUNDI MAJENEZA. Je wewe umemsevuje mwenzio?

Tuesday, April 2, 2013

MAMBO HAYO YA DADA YETU J'D HIVINDIVYO HILIVYO

Kila lakheri Lady Jaydee. Kwa usimamizi wa mumewe Gadner G Habash ambaye ana uzoefu mkubwa kwenye masuala ya radio, kituo hicho huenda kikafanya vizuri. You might also like: Chris Brown, Nicole Scherzinger Makeout: Did It, Or Didn’t ... Nightclub Sues Chris Brown and Drake for Brawl MAKOSA YA WAZIRI MULUGO NI YA BAHATI MBAYA AU UFAHAMU ... ANDRE 3000 KUDIRECT VIDEO 16 KUTOKA KATIKA ALBUM YA GOD ...

Thursday, March 21, 2013

SHOSTEEZ WAJIANDAA NA REALITY TV SHOW


Ni ukweli uliowazi kuwa kwa wazo la kuwakutanisha wasichana hawa watatu na kuanzisha kundi la Shosteez, Lamar amelamba joker! Umaarufu wa wasichana hawa unazidi kuongezeka na kwa mipango mikakati ya meneja wao watazidi kupaa.
shotsteez

Ni siku chache tu tangu ibainike kuwa Menynah Atick, Salma Mahin na Nuru wa kundi hilo wamekula shavu la kufanya tangazo la kinywaji kikubwa duniani, na sasa they are coming with a huge project, Reality TV show! And because they are very attractive, the show is likely to be the talk of town! Inalipa kuwa mrembo kwenye music industry!

Kupitia Twitter Lamar amebreak news hiyo kwa kusema,’Shosteez reality tv show on ur tv soon.’
“The World is coming into the reality tv shows. And all the best wit managing the girls. Sending them kisses,” ametweet Diva.

Na Shosteez sio project kubwa pekee kwa Lamar, the young producer is planning more massive projects in the near future. “Making the band season 1 if u are a gal n can sing both in eng n swahili many things to happen!tv adverts n so on,” alitweet Lamar.

KEYSHIA COLE AUDISI WIMBO MPYA WA BIYONCE -BOW DOWN


Ni wiki kadhaa tu zimepita tangu Keyshia Cole amdiss Michelle Williams kwenye performance yake na Destiny’s Child kwenye super bowl na sasa mdomo wake unataka kumuingiza tena matatani kwa kuudiss wimbo mpya wa BeyoncĂ©, Bow Down.
Cole na Bey

“Can’t stand when people all self righteous when it’s convenient it makes them look good. Lmao! But can still talk shit when convenient 2 FOH,” alitweet Keyshia, jana ambaye baadaye aligeuka gumzo kwa kauli hiyo.
Baada ya jana BeyoncĂ© kuachia wimbo huo uliotengenezwa na Hit-Boy, alitweet, “This my shit, bow down, bitches”

Hata hivyo Keyshia aliona wimbo huo kama una kasoro ukizingatia ujumbe wa mwanzo wa Bey kuwa wanawake wanatakiwa kuwa na umoja.

“First ‘Women need to Stick together’ now bitches better Bow. Smh,” aliandika. “But it’s all G! Chicks stay shooting the shit. But when I speak my mind it’s a prob. #Well #StayMad.”
Baada ya mtu mmoja kumtuhumu kwa ana chuki binafsi, Keyshia alijibu, “How am i hating? no Mamm or sir. whatever u may be. No H8.”
Keyshia Cole Gibson